Tangu niingie kwenye ndoa yangu sisikii hamu ya tendo la ndoa
DAKTARI...anajibu kama ifuatavyo...
Naomba niliongelee jambo hili kwa kina zaidi kwa upande wa wanaume kwani baadhi yaao walio katika ndoa siyo waaminifu huwa na nyumba ndogo au wapenzi kiasi cha kushindwa kutimiza wajibu wao nyumbani hali hii huwaathiri wanawake kisaikolojia.Mwanaume   mkorofi kila anaporudi  nyumbani yeye na pombe zake kichwani ni kuanza   kumkong’oli mke wake  tena mbele ya watoto wao jamani hii ni adabu  kweli?  Baadhi ya wanaume  ni wagomvi na wakorofi kwa wake zao hivyo  husababisha  mwanamke  aathirike kisaikolojia kwani kila akimuona mumewe  huona kero  na taabu  inakuja.
Sababu za kiafya nazo pia huchangia sana jambo hili wakati mwingine unakuta mwanamke anaumwa na mwanaume anaporudi tu yeye ndio kazi bila kujali kwamba mkewe ana matatizo gani ndido maana nasema kwamba wakati tunapotenda tendo hili basi tuweke akili zetu katika hili na sio kufikiria maudhi.
Sababu za kiafya nazo pia huchangia sana jambo hili wakati mwingine unakuta mwanamke anaumwa na mwanaume anaporudi tu yeye ndio kazi bila kujali kwamba mkewe ana matatizo gani ndido maana nasema kwamba wakati tunapotenda tendo hili basi tuweke akili zetu katika hili na sio kufikiria maudhi.
Polisi amshitaki Winnie Mandela
Afisa mmoja wa polisi nchini  Afrika Kusini amefungua mashitaka dhidi ya mke wa zamani wa rais wa  zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.
Chama cha wafanyakazi cha polisi huyo kimesema  hatua hiyo imefikiwa baada ya polisi kumtuhumu Winnie Madikizela-Mandela  kwa kuendesha gari kwa kasi.Winnie Mandela
Anatuhumiwa kwa kuvunja sheria, kujeruhi na kuendesha gari kwa uzembe.
Bw Ondendaal pamoja na askari mwenzake walikuwa tayari wamehamishiwa katika nafasi nyingine.
Dereva wa Winnie na mlinzi wake binafsi wamewasilisha malalamiko yao ya kutishwa na kuelekeza bunduki dhidi ya wawili hao.
Uchunguzi umeanza kuhusu mwenendo wao.
 
 
No comments:
Post a Comment