Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, February 14, 2011

somo la valentinez day kwa wanandoa

Tangu niingie kwenye ndoa yangu sisikii hamu ya tendo la ndoa

 DAKTARI...anajibu kama ifuatavyo...

Naomba niliongelee jambo hili kwa kina zaidi kwa upande wa wanaume kwani baadhi yaao walio katika ndoa siyo waaminifu huwa na nyumba ndogo au wapenzi kiasi cha kushindwa kutimiza wajibu wao nyumbani hali hii huwaathiri wanawake kisaikolojia.
Mwanaume mkorofi kila anaporudi nyumbani yeye na pombe zake kichwani ni kuanza kumkong’oli mke wake tena mbele ya watoto wao jamani hii ni adabu kweli? Baadhi ya wanaume ni wagomvi na wakorofi kwa wake zao hivyo husababisha mwanamke aathirike kisaikolojia kwani kila akimuona mumewe huona kero na taabu inakuja.

Sababu za kiafya nazo pia huchangia sana jambo hili wakati mwingine unakuta mwanamke anaumwa na mwanaume anaporudi tu yeye ndio kazi bila kujali kwamba mkewe ana matatizo gani ndido maana nasema kwamba wakati tunapotenda tendo hili basi tuweke akili zetu katika hili na sio kufikiria maudhi.
 

Polisi amshitaki Winnie Mandela

Afisa mmoja wa polisi nchini Afrika Kusini amefungua mashitaka dhidi ya mke wa zamani wa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela.
Chama cha wafanyakazi cha polisi huyo kimesema hatua hiyo imefikiwa baada ya polisi kumtuhumu Winnie Madikizela-Mandela kwa kuendesha gari kwa kasi.
Winnie
Winnie Mandela
Chama hicho, Solidarity kimemtuhumu Winnie kwa kujaribu kumtisha polisi huyo Jannie Odendaal.
Anatuhumiwa kwa kuvunja sheria, kujeruhi na kuendesha gari kwa uzembe.
Bw Ondendaal pamoja na askari mwenzake walikuwa tayari wamehamishiwa katika nafasi nyingine.
Dereva wa Winnie na mlinzi wake binafsi wamewasilisha malalamiko yao ya kutishwa na kuelekeza bunduki dhidi ya wawili hao.
Uchunguzi umeanza kuhusu mwenendo wao.
 

No comments: