Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Tuesday, August 27, 2013

BONDIA BOTHA ATUA JIJINI DAR

Bondia wa Dunia wa uzito wa juu  Francois Botha akionyesha jinsi ya kupambana kulia ni Yasini Abdalla Rais wa Shirikisho la ndondi nchini ,kushoto ni mdau wa ndondi , uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius  Nyerere  leo  jijini Dar es salaam.
 Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya  Michezo Bi.Juliana Yassoda akiwa na  Bondia wa Dunia   wa uzito wa juu Francois Botha alipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere  leo  jijini Dar es salaam kwa ajili ya kuzungumzia masuala ya  mchezo wa ndondi utakaofanyika  30 Agosti mwaka huu katika ukumbi wa Diamond.
 Bondia wa Dunia wa uzito wa juu  Francois Botha  akionyesha mmoja ya mkanda alioishinda kwa   muuandaaji wa pambano hilo J Msangi,kushoto ni Rais wa  Shirikisho la Ndondi  Howard Goldberg katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere  leo  jijini Dar es salaam
Bondia wa Dunia  Francois Botha akiwa na muuandaaji wa pambano hilo J Msangi,kushoto ni Rais wa  Shirikisho la Ndondi  Howard Goldberg katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius  Nyerere  leo  jijini Dar es salaam.

No comments: