Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, August 26, 2013

RAIS KIKWETE AMUAPISHA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA JAJI FRANCIS MUTUNGI LEO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Msajili wa Vyama vya Siasa mpya Jaji Francis Mutungi Ikulu jijini Dar es salaam leo. Jaji Mutungi ameapishwa baada ya kuteuliwa na Rais hivi karibuni kushika nafasi hiyo iliyo kuwa ikishikiliwa na John Tendwa kustaafu kwa mujibu wa sheria.
 Jaji Mutungi akisaini hati ya kiapo.
 Rais Jakaya KLikwete akitia saini hati ya kiapo ya Jaji Mutungi.
 Rais Kikwete akikabidhi vitendea kazi Jaji Mutungi.
 Pongezi...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na  Msajili wa Vyama vya Siasa mpya Jaji Francis Mutungi na viongozi wa vyama vya siasa Ikulu jijini Dar es salaam leo.

No comments: