Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, August 30, 2013

MISS TANZANIA 2013 AAGWA KUELEKEA MISS WORLD 2013

Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Mh. Dkt. Fenella Mukangara (kulia) akimkabidhi Bendera ya Taifa,Redd's Miss Tanzania 2012/13,Brigitte Alfred (katikati) anaetarajiwa kuondoka hivi karibuni kwenda nchini Indonesia kushiriki Mashindano ya Urembo wa Dunia (Miss World 2013).Kushoto ni Mlezi wa Kamati ya Miss Tanzania,Mh. Emmanuel Ole Naiko.

Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Mh. Dkt. Fenella Mukangara (kulia) akimkabidhi Bendera ya Taifa,Redd's Miss Tanzania 2012/13,Brigitte Alfred (katikati) anaetarajiwa kuondoka hivi karibuni kwenda nchini Indonesia kushiriki Mashindano ya Urembo wa Dunia (Miss World 2013).Kushoto ni Mlezi wa Kamati ya Miss Tanzania,Mh. Emmanuel Ole Naiko na Kulia ni Mkurugenzi wa Utamaduni, Prof. Herman Mwasoko.
Brigitte Aflred Lymo akipongezwa na mama yake huku Mlezi wa Miss Tanzania, Emmanuel Ole Naiko akishuhudia.
Mgeni rasmi Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Dkt. Fenella Mukangara (kulia) Redd's Miss Tanzania 2012/13, Brigitte Alfred (katikati) anaetarajiwa kuondoka hivi karibuni kwenda nchini Indonesia kushiriki Mashindano ya Urembo wa Dunia (Miss World 2013) pamoja na Mlezi wa Kamati ya Miss Tanzania, Emmanuel Ole Naiko.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni Lino International Agency ambao ni Waandaaji wa Shindano la Miss Tanzania,Hashim Lundenga (kulia) akizungumza wakati wa hafla hiyo  na wengine pichani ni Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Dkt. Fenella Mukangara (wapili kushoto) Redd's Miss Tanzania 2012/13, Brigitte Alfred (kushoto) anaetarajiwa kuondoka hivi karibuni kwenda nchini Indonesia kushiriki Mashindano ya Urembo wa Dunia (Miss World 2013) na  Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni kutoka wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Herman Mwasok.
Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Mh. Dkt. Fenella Mukangara (katikati) akimkabidhi Bendera ya Taifa,Redd's Miss Tanzania 2012/13,Brigitte Alfred (pili kushoto) anaetarajiwa kuondoka hivi karibuni kwenda nchini Indonesia kushiriki Mashindano ya Urembo wa Dunia (Miss World 2013).Wengine pichani ni Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni kutoka wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Herman Mwasoko (pili kulia),Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni Lino International Agency ambao ni Waandaaji wa Shindano la Miss Tanzania,Hashim Lundenga (kulia) pamoja na Mlezi wa Kamati ya Miss Tanzania,Mh. Emmanuel Ole Naiko.
Warembo mbalimbali wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2013 wakifuatilia tukio hilo la kuagwa kwa Miss Tanzania 2012 katika Hoteli ya Giraffe.
Hapa ni katika kutafuta taswira tu!!
Baadhi ya viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania wakifuatilia tukio.
Wageni waalikwa
Picha ya pamoja na warembo wapya ilipigwa.

No comments: