



Msanii wa kizazi kipya GTK ambae anaratibu shindano la Malkia wa michano amesema leo jijini Dar kuwa shindano litakuwa la aina yake kwani maandalizi yote yametimia na washiriki wapo katika hali ya ushindani.
Siku ya jumamosi katika uwanja wa Mmoto utawashwa na wasanii wakubwa na wasanii wanaowania taji hilo siku ya jumamosi hii.
No comments:
Post a Comment