Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Tuesday, November 29, 2011

MARIAM RAMADHANI MWANAMITINDO MPYA ALIEPANIA KUWIKA

   Ramadhani ni mrembo mwenye ndoto zakuwa mwanamitindo mkubwa nchini Tanzania, ana umri wa miaka 19 tu,elimu yake ni kidato cha nne,hobi zake ni Mitindo na kuangalia muziki.
   Kitu apendacho ni Amani na kitu asichopenda ni ile tabia ya mtu kumfuatilia maisha yake kwa ujumla,rangi aipendayo ni bluu bahari na nyeupe na yuko ndani ya uhusiano wa kimapenzi na Boyfriend wake ambe kampata hivi karibu baada ya kuacha na na wale wa awali ambapo aliiambia  UNIQUEENTERTZ kuwa alishawahi kuwa na wavulana watatu kabla hajampata huyu wa sasa.
   Mariam ni mnyamwezi kwa kabila anaishi kulasini na matarajio yake ya baadae ni kuwa mjasiliamali wa kitaifa akiwa na lengo la kuishi maisha bora kwa nguvu zake mwenyewe.


 USHER NA MTALAKA WAKE HAPATOSHI
  Usher and Tameka Raymond
Usher
's ex-wife wants to take away his kids ... claiming the singer has repeatedly blown off his legal obligations as a co-parent ... and even worse -- he CLOSED her Saks 5th Avenue credit card ... this according to court docs obtained by TMZ.

Tameka Raymond -- who had 2 kids with Usher during their brief 2 year marriage -- filed court papers in Georgia ... asking a judge to strip Usher of joint physical custody of their children ASAP.

According to the docs, Tameka claims Usher has repeatedly FAILED to obtain her permission to travel outside the state with the kids ... which he's legally obligated to do.  


No comments: