Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Thursday, January 20, 2011


Pongezi wakati wa uzinduzi wa Kilimanjaro Tanzamia Music Award's 2011 usiku huu katika hoteli ya Double Tree jijini Dar.
Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,David Minja akizungumza katika uzinduzi wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Award's 2011 uliofanyika usiku huu katika hotel ya Double Tree Hilton,Masaki jijini Dar.
Meneja wa bia ya Kilimanjaro,George Kavishe akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika usiku huu katika hotel ya Double Tree Hilton,Masaki jijini Dar.
Katibu Mkuu wa BASATA,Gonche Materego akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika usiku huu katika hotel ya Double Tree Hilton,Masaki jijini Dar.

Muwakilishi wa Wasanii wa Music nchini,Luiza Mbuttu akizungumza kwa niaba ya wasanii wenzake wote.
Msanii wa muziki wa Bongo Freva,Marlow akifanya vitu vyake katika uzinduzi huo.
Msanii wa Muziki wa kizazi kipya,Mataluma akikamua usiku huu katika uzinduzi wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Award's 2011 uliofanyika usiku huu katika hotel ya Double Tree Hilton,Masaki jijini Dar.
MC wa shughuli hiyo,Gardiner Habash akiwajibika ipasavyo katika uzinduzi huo.Ankal akiwa na Wadau wa TBL,Shoto ni Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,David Minja na kulia ni Meneja wa bia ya Kilimanjaro,George Kavishe.
Mbunifu wa Mavazi na Mwanamitindo mkongwe hapa nchini,Khadija Mwanamboka akijadiliana jambo na Mrembo Jokate Mwegelo wakati wa hafla ya uzinduzi wa Kilimanjaro Tanzania Music Award's 2011 uliofanyika usiku huu katika hotel ya Double Tree Hilton,Masaki jijini Dar.
Wakali wa Bongo Flava.
Miamba ya Kaskazini ikiwakilisha kama kawa.
Amini na Linah wakiwa katika mazungumzo ya hapa na pale.
toka kulia ni Giver Meena,Martin na Mdau.
Wadau wa TBL wakiwakilisha katika uzinduzi huo.
Ma DJ's wa Ukweli kutoka katika familia moja,toka shoto ni Dj Bon Lov,Dj Mackay na Dj Venture.
Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,David Minja akiwa na Mdau Ben Kisaka pamoja na Miss Tanzania 2010,Genevive Emmanuel katika hafla hiyo ya uzinduzi wa Kilimanjaro Tanzania Music Award's 2011 uliofanyika usiku huu katika hotel ya Double Tree Hilton,Masaki jijini Dar.
Wadau,toka shoto ni Hud,Sylvia Sharry,Martin pamoja na Jamillah.
Msanii wa Bongo Freva,Mwasiti (shoto) akila na Richard,Hamis B 12 na Linda.
Aunt Ezekiel Wadau wenzake katika nyanja ya Filamu.
Wasanii wa Bongo Freva wakiimba wimbo wa pamoja unaohusu Kilimanjaro Tanzania Music Award's usiku huu.
Mamaa wa 8020 Fashions,Shamim Mwasha akiwaonyesha taswirazz kwa warembo mara baada ya kuipata kupitia kamera yake.
Mtu mzima Bon Lov na Banana Zorro pamoja na C Pwaa.
Wadau.
Benjamin wa Mambo Jambo (shoto) akiwa na washkaji wengine wakifuatilia shughuli nzima ya uzinduzi huo usiku huu.
Temba na Chegge wakishow love na mdada wa Double Tree Hilton usiku huu.
toka shoto ni Ahmad Michuzi,Abraham Mossi na Mdau.
Wadau wa TBL wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo usiku huu.

Wadau wa Taarab pia walikuwepo.
Wafanyakazi wa TBL.
Wadau

No comments: