Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Thursday, January 20, 2011

MSECHU AZAWADIWA BIMA YA AFYA JIJINI DAR

Msanii wa bongo flava na mshindi wa pili waq mashindano ya bongo star search na Tusker project  SEASON 4 PETER MSECHU amezawadiwa bima ya ya afya ya kiwango cha primier plan na kampuni ya soluhealth,pichani meneja mkuu osca osir akimkabidhi msechu zawadi hiyo jijin Dar es salaam.




Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager na ushirikiano wa kituo cha televisheni cha ITV leo wameweka bayana ukumbi ambapo fainali ya Tuzo ya heshima ya “Shujaa wa Safari lager” itafanyika. Ukumbi huo uko katika Hoteli maarufu na ya kisasa Paradise City Hotel.

Akizungumzia fainali hiyo ya aina yake, Meneja wa Bia ya Safari lager Fimbo Butallah (pichani juu) alisema; Maandalizi yote yameshakamilika, na washiriki wote watatu walioingia fainali watakuwepo katika hafla hiyo ambapo mshindi atatwaa tuzo hiyo ya heshima ikiambatana na kitita cha pesa shilingi milioni saba, pia washiriki wawili waliobaki watapata zawadi ya shilingi milioni moja kila mmoja.

Pia katika fainali hizo zitakazofanyika siku ya Ijumaa tarehe 21 Januari, kutakuwa na burudani toka kwa msanii bingwa wa kughani mashairi Tanzania Mrisho Mpoto, maarufu kama “Mjomba” akiwa ameongozana na bendi yake.

Bw. Butallah pia alitumia nafasi hiyo kutaja jopo la majaji wanaoendesha mchakato mzima wa “Tuzo ya Shujaa wa Safari Lager” ambao ni;-

Bw. Richard Magongo – Mkaguzi mkuu wa Mahesabu, TBL

Bw. Deogratius Rweyunga – Mkurugenzi wa Redio One Stereo na

Bw. Alex Mgongolwa – Mwanasheria na Wakili aliyebobea.

Butallah pia, alitumia muda huo kuwapongeza wananchi kwa kuweza kuonesha ushirikiano wa hali ya juu kuanzia hatua za mwanzo za kupendekeza mashujaa na hadi hivi sasa tukiwa katika mchakato wa kuwapigia kura washiriki watatu walioingia finali ili hatimaye tupate mshindi. Mashujaa walioingia fainali ni:
Ms. Mercy Shayo wa Bomang’ombe – KilimanjaroBw. Paul Luvinga wa Sinza – Dar Es Salaam.Bw. Leonard Mtepa wa Mwananyamala – Dar Es Salaam


KANUMBA KUTEKA SOKO LA FILAMU TANZANIA...KUSHUSHA  VIFAA VYA FILAMU VYA MAMILIONI 
duka linaloitwa B&H.huko new york cityAikitizama taa nzuri kwa production
Akiwa makini kuchagua ili mashabiki wake wa ukweli nwawe nawapa vitu vyenye quality

Hapa ni sehemu za BOOM MIC pesa yako tu hapo kuna kila aina ya mic kwa ajili ya production napo akichukua mojawapo ili sauti iwe nzuri katika movie zake.
  

No comments: