Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, January 28, 2011

Naomi campbell atoa tamko

NAOMI CAMPBELL has spoken out about the accusations of perjury levelled at her by her former agent's company. Carole White has accused Campbell of lying on the stand during a civil litigation between her company, Moodform Mission, and the supermodel.

"The allegations are unequivocally denied," Campbell said today. "I am personally saddened that Ms White has chosen to make such a serious and utterly false claim against me, my lawyer and my advisor. We all vehemently deny the allegations. The allegations are completely without merit and should never have been made. We are completely satisfied that the truth will prevail."



. Candice Swanepoel--she look like Asia Dachi(unique model 2010/2011)
candice_swanepoel
New York:
IMG
Copenhagen:
Elite Copenhagen
Barcelona:
Elite Barcelona
Hamburg:
MODELWERK
With her classic good looks and approachable, bombshell next door allure, Candice Swanepoel is a natural choice for Victoria's Secret. The South African beauty has become one of the mega-brand's most visible faces.



WATANZANIA WAFUNGWA JELA ZIMBABWE

SIKU moja baada ya Mtanzania Ahmed Ghailan kuhukumiwa kifungo cha maisha jela nchini Marekani, wengine wawili wamefungwa miaka saba kila mmoja nchini Zimbabwe.
Watanzania, Juma Ally Juma (30) na Masumbuko Abdallah Munguni (38), wamefungwa baada ya kupatikana na hatia ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya cocaine kutoka Zambia kuelekea Afrika Kusini wakipitia nchini hapa.
Watanzania hao walikamatwa mwaka jana wakiwa na vidonge hivyo vya cocaine vyenye thamani ya dola za Marekani 203,810 walivyokuwa wamevimeza tumboni.
Walikamatwa wakiwa ndani ya basi wakisafiri kutoka nchini Zambia kupitia Zimbabwe kuelekea nchini Afrika Kusini.
Katika maelezo yao mahakamani wamekaririwa wakisema waliahidiwa pesa dola za Marekani 1000 kila mmoja na mfanyabiashara wa nchini Tanzania waliyemtaja kwa jina moja la Malik.
Wamesema mfanyabiashara Malik angewapa kiasi hicho cha pesa kama wangefanikiwa kusafirisha hadi Afrika ya Kusini.
Taarifa zimeeleza kwamba wawili hao walimeza vidonge hivyo wakiwa nchini Tanzania kwa lengo la kukutana na mwenzao aliyefahamika kwa jina la Francis Williams, ambaye hata hivyo hukumu yake bado haijasomwa nchini Zambia.
Watuhumiwa walichukua usafiri wa basi kutoka Lusaka na kufanikiwa kukatisha mpaka wa Zambia na Zimbabwe bila kukamatwa.
Taarifa hizo zimeongeza kwamba wakiwa safarini mmoja wa watuhumiwa hao alianza kupata maamivu kutokana na moja ya vidonge kupasuka tumboni kabla ya kukamatwa na polisi na kutolewa vidonge 159 kwa wote wawili.
Juzi mahakama ya Jimbo la Manhattan nchini Marekani ilimhukumu Mtanzania, Ahmed Ghailani, kifungo cha maisha gerezani kwa kuhusika na mashambulizi ya kigaidi.
Jopo la majaji lilikaririwa likisema Mtanzania huyo amekutwa na hatia ya kufanya njama ya kuharibu majengo ya serikali.
Jaji katika kesi hiyo Lewis A. Kaplan amesema aliridhishwa na ushahidi aliopata kwamba Ghailani alijua kwamba watu wangekufa kutokana na vitendo vyake.


Lil Kim anatoka na kitu cha Black Friday "MIXTAPE"

Mwanadada Lil Kim anaendeleza beef lake na Nick Minaj…. Alianza na ngoma inayoitwa Black Friday …akaja na Video na sasa ni kitu cha Mixtape…ambayo itatoka siku ya Valentine’s Day. 2/14/11...“Black Friday the mixtape – 2/14/11- WHO THE F*** WAR? #ItsBlackFridayHoe LEGOOOO!!!!! hayo ni maneno ya lil kim alioandika kwenye tweeter. 
      
                 MODEL OF THE WEEK
Photograph shows model Camille McDonald, wearing designs by Ashakai.on carribia fashion week

No comments: