Waziri wa Nishati na Madini Wiliam Ngeleja (kushoto) akibadilisha hati
za makubaliano ya utafiti wa mafuta nchini na Mkurugenzi Mtendaji wa
kampun i ya Petrobras kutoka Brazil Bw, Samuel Bastos de Miranda
(kulia) , hafla hiyo imefanyika leo jijini Dar es Slaam wakati wa
hafla ya uwekaji saini wa mikataba mitatu ya utafiti wa mafuta wa
kampuni kutoka nje
Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja (katikati) akiweka saini
mkataba wa utafiti wa mafuta nchini kwa kampuni tatu kutoka nje,
(kushoto) ni Mkurugenzi mtendaji wa TPDC Bw, Yona Killagane na
(kulia) Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Matherland industries LTD
kutoka India, Bw. V.K. Sood .(kulia). Mkataba huo umewekwa saini leo
kwenye jingo la Wizara ya Nishati na Madini.
No comments:
Post a Comment