BALAZA LA MITIHANI LA TANZANIA YAZINDUA HUDUMA YA KULIPIA ADA KWA MASHINE ZA SELCOM
Programa
Mwandamizi wa Kompyuta toka Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Bw.
Ulrick Mkenda (kulia) akionesha mashine wakati wa Uzinduzi wa huduma ya
kulipia Ada za mitihani kupitia mashine za Selcom Gaming LTD, Dar es
salaam janaziitwazo selcom paypoints. kwa wahitimu wa kujitegemea
9kidato cha nne CSEE na Maarifa QT kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni
hiyo Bw. Juma Mgori. Programa
Mwandamizi wa Kompyuta toka Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Bw.
Ulrick Mkenda (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo
pichani) wakati wa Uzinduzi wa huduma ya kulipia Ada za mitihani kupitia
mashine za Selcom Gaming LTD, Dar es salaam jana, ziitwazo selcom
paypoints. kwa wahitimu wa kujitegemea kidato cha nne CSEE na Maarifa QT
kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Bw. Juma Mgori.
No comments:
Post a Comment