Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Friday, March 9, 2012

MAUAJI YA KUTISHA YATOKEA MJINI MBEYA

Mwili wa Marehemu Tabu Bakari Mwangela (58), ukiwa umeharibika vibaya baada ya kukatwakatwa na mapanga na mtu au watu wasiofahamika katika  Kijiji cha Malamba wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.
 Waombolezaji katika msiba wa marehemu Tabu Bakari Mwangela (58), aliyeuawa kwa  kukatwakatwa na mapanga na mtu au watu wasiofahamika katika  Kijiji cha Malamba wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.
  Ndugu wa marehemu wakilia baada ya kuuona mwili wake Tabu Bakari Mwangela (58), aliyeuawa kwa  kukatwakatwa na mapanga na mtu au watu wasiofahamika katika  Kijiji cha Malamba wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.

MAUAJI YA KUTISHA MKOANI MBEYA MWANAMKE AKATWAKATWA NA MAPANGA, MWINGINE APIGWA RISASI NA MMOJA ACHOMWA KISU CHA TUMBO KISA REDIO AINA YA RISING YA SHILINGI 16,000/=

No comments: