Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Wednesday, January 9, 2013

DARAJA LINALOKARIBIA KUCHUKUA ROHO ZA WATU NA SERIKALI IKO TULII


Wakati serikali ikiahidi kukamilisha ujenzi wa madaraja yapatayo 10 sehemu mbalimbali nchini huku ujenzi na ufunguzi wa madaraja hayo ukiendelea kufanyika hali iko hivi katika daraja la Sukuma lililopo katika barabara kuu inayounganisha vijiji vya wilaya ya Magu mkoani Mwanza.


Daraja hili mbao zake zimesagika kabisa kiasi cha kufanya magari yanayopita kutumia daraja hili muhimu kupita kwa mwendo wa kusuasua yakihofia kukumbwa na maafa. 


Mbao zilizo chomoka zimeegeshwa tu, mawe yametumika kuziba mashimo ya uwazi kati ya nondo na nondo hii ni hatari si kwa magari tu bali hata kwa waendao kwa miguu hali inayosababisha hata waendeshao baskeli kushuka na kuzikokota baiskeli zao wakihofia usalama wao.

No comments: