 Wanafunzi walioongoza mtihani wa taifa wa darasa la saba wa mwaka 2012, 
Janeth Kijazi (kushoto) Justina Kalala (katikati)na Kellen Mudogo wakiwa
 shule ya sekondari ya wasichana, St Marian Bagamoyo, jana, walikoanza 
kidato cha kwanza. Wanafunzi hao walihitimu elimu ya msingi katika Shule
 ya Tusiime ya jijini Dar es Salaam. Picha Florence Majani
Wanafunzi walioongoza mtihani wa taifa wa darasa la saba wa mwaka 2012, 
Janeth Kijazi (kushoto) Justina Kalala (katikati)na Kellen Mudogo wakiwa
 shule ya sekondari ya wasichana, St Marian Bagamoyo, jana, walikoanza 
kidato cha kwanza. Wanafunzi hao walihitimu elimu ya msingi katika Shule
 ya Tusiime ya jijini Dar es Salaam. Picha Florence Majani
 
 
No comments:
Post a Comment