Mapenzi 
yao yalianza tangu binti akiwa kidaato cha tatu lakini halikuwa penzi 
lenye mashamu shamu kwa kuwa wabababa alikuwa bado hajamiliki pesa na 
heshima katika jamii inayomzunguka kama sasa mara tuu baada ya kuchukua 
kifuta jasho cha bss na vijihela alivyopewa na mapapaa waliokubali kazi 
aliioifanya bss hivyo kuwa na kiburi kilichomfanya amtie mimba mwananfunz ambae aligundulika kuwa ametoa mimba mara taarifa za mahusiano ya wababa na mwanafunzi huyo kufikishwa kwa mama mzazi wa binti huyo.
aliioifanya bss hivyo kuwa na kiburi kilichomfanya amtie mimba mwananfunz ambae aligundulika kuwa ametoa mimba mara taarifa za mahusiano ya wababa na mwanafunzi huyo kufikishwa kwa mama mzazi wa binti huyo.
Wababa 
aliwekwa ndani kwa muda wa siku mbili na kesi bado ipo mahakamani na 
wazazi wa binti wameapa kumweka ndani wababa na kumfanya kama Babu Sea 
huku binti akiwa hajaonekana siku ya 4 sasa na kutokujulikana alipo kwa 
madai anampenda wababa na wakimfunga tu nae anakunywa sumu.
SOURCE MPEKUZI!
 
 
No comments:
Post a Comment