Mtangazaji wa  siku nyingi na mwaasisi wa Shirika la Utangazaji la Tanganyika Broardcasting  Cooparation (TBC) enzi  hizo,
 na Radio  Tanzania Dar es salaam (RTD) Mzee David Wakati amefariki 
dunia usiku wa kumakia  leo. Habari zaidi na mipango ya mazishi 
tutaendelea kuwajulisha kwa yale  yatakayojiri kuhusiana na msiba huo mkubwa
 kwa wanataaluma ya habari. Mzee David  Wakati alikuwa ni mtangazaji 
mahiri na aliyeitangaza vyema Tanzania katika  masuala ya habari 
kimataifa hasa alipokuwa akifanya kazi katika Idhaa ya  Kikwashili ya 
Sauti ya Ujerumani jijini Born Ujerumani. 
Mungu aiweke roho ya marehemu  David Wakati mahali pema peponi. 
AMEN.
J-LO AENDELEZA MAPENZI NA SMART ANGALI ANA PETE YA NDOA YA MARC ANTONY
  Jennifer Lopez's lips say she's moved on to new BF/dancer Casper Smart -- but at least one of her fingers seems to be holding on to her ex.
Jennifer Lopez's lips say she's moved on to new BF/dancer Casper Smart -- but at least one of her fingers seems to be holding on to her ex.
J-LO AENDELEZA MAPENZI NA SMART ANGALI ANA PETE YA NDOA YA MARC ANTONY
While
 J.Lo snuck a few cougar kisses with Casper between rehearsals in L.A. 
... she was still sporting what looks a lot like the 8.2 carat wedding 
ring she got from Marc Anthony. 
Can ya blame her? 8.2 carats!! At least it's on her right hand.
                        
 
Can ya blame her? 8.2 carats!! At least it's on her right hand.
Bw Morgan Tsvangirai
Waziri mkuu wa Zimbabwe Morgan 
Tsvangirai amesema uhusiano wake na mfanyabishara Locadia Tembo umefikia
 tamati, siku chache baada ya kutoa mahari. 
Bw Tsvangirai alisema uhusiano wao "umeharibiwa na hautengenezeki" baada ya "kutekwa" na wapinzani wa kisiasa.
                     
Wawakilishi wake walitoa mahari ya maelfu ya madola na ng'ombe katika sherehe zilizofanyika Novemba 18.
Bw Tsvangirai yuko kwenye serikali ya muungano na mpinzani wake, Rais Robert Mugabe.
Katika taarifa iliyotolewa, Bw Tsvangirai, 
mwenye umri wa miaka, 59, alisema anatia shaka kama uhusiano wake 
utakuwa na "umoja thabit" na Bi Tembo mwenye umri wa miaka 39, 
mfanyabiashara na dada wa mbunge mmoja kutoka chama cha Bw Mugabe 
Zanu-PF.
"'Ndoa hii' imegubikwa na mambo mengine na kuna 
mkono wa kisiasa ambao sasa unaushughulisha mchakato huu," alisema 
kwenye taarifa hiyo.
Mke wa kwanza wa Bw Tsvangirai, Susan, alikufa kwenye ajali ya gari siku chache baada ya kuwa waziri mkuu.
 
 

No comments:
Post a Comment