Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Sunday, December 4, 2011

BREAKING NEWS: MISS USA RIMA FAKIR AKAMATWA

Former Miss USA Rima Fakih was arrested in Michigan early Saturday for suspicion of drunken driving ... this according to an attorney for the beauty queen.

Police would not confirm the arrest -- and Fakih even tweeted yesterday she wasn't even in Michigan -- but her attorney, Donald Elder, told the Detroit Free Press, "Unfortunately she was."

Elder told the paper Fakih was "very saddened and very apologetic for the situation that she is in right now."

As for the tweet, Fakih posted around 5:00 PM on Saturday: "Let’s clear things up now.... I’m NOT in Michigan and I’m NOT in jail! Wrong Fakih."


MTU MMOJA AUWAWA MBEYA NA KISHA KUFUNGWA KWENYE MTI KWA TUHUMA ZA WIZI.

Muuguzi kutoka Hospitali Teule ya Ifisi iliyopo mji mdogo wa Mbalizi wilaya ya Mbeya vijijini Bi Tabu Kumwenda, akiufanyia uchunguzi mwili wa marehemu Ndele Shantiwa (30), aliyeuawa kwa kukatwakatwa kwa mapanga na shoka na wananchi wenye hasira baada ya kushirikiana na wenzake wawili ambao ni Ndele Rujewa na Mboya kuiba mali zenye thamani ya shilingi 586,000/= za kitanzania mali ya Bwana Geofrey Kabiba

Mguu wa kulia ukiwa umekatwa kwa Panga ambao ni wa marehemu Ndele Shantiwa (30), aliyeuawa kwa kukatwakatwa kwa mapanga na shoka na wananchi wenye hasira baada ya kushirikiana na wenzake wawili ambao ni Ndele Rujewa na Mboya kuiba mali zenye thamani ya shilingi 586,000/= za kitanzania mali ya Bwana Geofrey Kabiba
Marehemu Ndele Shantiwa (30), akiwa amefungwa kwenye mti, amapo ameuwawa kuawa kwa kukatwakatwa kwa mapanga na shoka na wananchi wenye hasira baada ya kushirikiana na wenzake wawili ambao ni Ndele Rujewa na Mboya kuiba mali zenye thamani ya shilingi 586,000/= za kitanzania mali ya Bwana Geofrey Kabiba.

BREAKING NEWS:NAHODHA WA BRAZIL 1982 AFARIKI DUNIA
Mchezaji mashuhuri wa soka aliyewahi kuwa nahodha wa Timu ya soka ya Brazil, Socrates amefariki akiwa mwenye umri wa miaka 57. Socrates aliyezaliwa tarehe 19/02/1954 alikuwa nahodha wa Timu ya Brazil kwenye michuano ya Kombe la Dunia mara mbili.
Socrates aongoza Brasil
Socrates wa Brazil
Jina lake, Socrates Brasileiro Sampaio de Souza Vierra Oliveira. Ni dhana ya babake kua ukiwapa wanao majina ya watu mashuhuri watafuata nyayo zao. Ni mtoto wake wa nne aliyeponyoka jina Xenofontes, baada ya mamake kupinga vikali na badala ya hilo akaitwa Rai aliyeshiriki Timu ya Brazil iliyoshinda Kombe la Dunia la mwaka 1994.
Wakati Socrates akicheza, wengi walimuona kama mchezaji bora wa wakati huo.
Jina lake la Socrates, lilitokana na babake kusisitiza wanawe watatu wapewe majina ya wana filosofia wa Ugiriki ya kale. Akiwa na jina kama hilo haikushangaza kuona mcheza soka huyu kupata sifa ya mtu anayetumia mda wake akitafakari kitu, kutoa maoni yake juu ya masuala mbalimbali pamoja na soka.

No comments: