Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, December 12, 2011

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA KENYA LEO IKULU

 Rais Jakaya Kikwete akipokea ujumbe maalumu toka kwa Rais Mwai Kibaki wa Kenya uliowasilishwa na Makamu wa Rais wa nchi hiyo Mh Kalonzo Musyoka alipomtembelea leo Desemba 10, 2011 Ikulu jijini Dar es salaam
  Rais Jakaya Kikwete katika maongezi na ujumbe wa kenya unaoongozwa na Makamu wa Rais wa nchi hiyo Mh Kalonzo Musyoka
Rais Jakaya Kikwete akitambulishwa kwa Mfalme Peter Nabongo Mumia wa ukoo wa Wanga wa Magharibi mwa Kenya wakati Makamu wa Rais wa Kenya Mh. Kalonzo Musyoka alipomtembelea leo Desemba 10, 2011 Ikulu jijini Dar es salaam.


DENI LAMSUMBUA JARMAINE DUPRI
 Jermaine Dupris Lamborghini carJermaine Dupri's mega-expensive Lamborghini repossessed recently -- now, the people who fronted him the cash to pay for it are out for blood ... claiming the producer still owes them $80,000 for the car.

Premier Financial Services filed new legal docs in Georgia Superior Court, claiming Jermaine financed the white 2005 Lamborghini Murcielago in 2006 -- worth $330,000 -- and agreed to make 58 monthly payments of $4,323.

According to the docs, Jermaine dropped $70,000 up front for the car and successfully made the majority of payments -- but for some reason ... he dropped the ball in 2009, and failed to pay the remaining handful.

As a result, PFS repossessed the car and sold it off for $115,000 -- and now they're out for the difference ... insisting they hemorrhaged $79,095 in the deal-gone-wrong, and they're suing Jermaine for their losses.



 Chris Brown knows his current girlfriend Karrueche Tran has his back.
At least while she's hanging on for her life, while they ride their four wheelers in Dubai!
The F.A.M.E. singer took his boo to the beautiful city in the Arabian Peninsula over the weekend. Karrueche returned the favor by tweeting "<3" with a picture of her blowing kisses to the camera while holding onto Breezy's back. 

No comments: