Baadhi ya wafanyakazi na wanafamilia wa benki ya NBC wakishindana katika mchezo wa kufukuza kuku katika Siku ya Wanafamilia ya benki hiyo katika Hoteli ya South Beach, Dar es Salaam.  Mshindi wa mbio hizo huondoka na kuku huyo na kwenda nae kumfanya kitoweo au kumfuga.
 Baadhi ya wafanyakazi na wanafamilia wa benki ya NBC wakishindana katika kuvuta kamba ili kumpata mshindi katika Siku ya wanafamilia ya benki hiyo katika Hoteli ya South Beach, Dar es Salaam.
Baadhi ya watoto wa wafanyakazi wa benki ya NBC wakifurahi katika bwawa la kuogelea ikiwa ni baadhi ya burudani kuadhimisha Siku ya Wanafamilia ya benki hiyo katika Hoteli ya South Beach, Dar es Salaam.MIGUE COTTO AMDUNDA ANTONIO MARGARITO
 Miguel
 Cotto (right) connects against Antonio Margarito during their fight at 
Madison Square Garden. Cotto won by TKO before the 10th round when the 
ring doctor stopped the fight.
Miguel
 Cotto (right) connects against Antonio Margarito during their fight at 
Madison Square Garden. Cotto won by TKO before the 10th round when the 
ring doctor stopped the fight. Antonio Margarito akionekana jicho lake limevimba kutokana na masubwi aliyokua anatupiwa.
Antonio Margarito akionekana jicho lake limevimba kutokana na masubwi aliyokua anatupiwa. Vijana wanaopandisha Mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima 
Kilimanjaro wanaonekana wakianza safari yao kwenye hifadhi ya Mlima 
Kilimanjaro Marangu Mkoani Kilimanjaro leo tarehe 5.12.2011.
 Vijana wanaopandisha Mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima 
Kilimanjaro wanaonekana wakianza safari yao kwenye hifadhi ya Mlima 
Kilimanjaro Marangu Mkoani Kilimanjaro leo tarehe 5.12.2011.
 Mkuu
 wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe.Leonidas Gama akimpa mkono wa kumtakia heri 
mmoja wa vijana wanaopandisha Mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima 
Kilimanjaro kwenye hifadhi ya Mlima Kilimanjaro zilizoko Marangu Mkoani 
Kilimanjaro leo tarehe 5.12.2011.
Mkuu
 wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe.Leonidas Gama akimpa mkono wa kumtakia heri 
mmoja wa vijana wanaopandisha Mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima 
Kilimanjaro kwenye hifadhi ya Mlima Kilimanjaro zilizoko Marangu Mkoani 
Kilimanjaro leo tarehe 5.12.2011.
 Mkuu
 wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Leonidas Gama pamoja na Viongozi wa Mkaoa 
wa Kilimanjaro na wawakilishi wa Wizara ya Habari ,Vijana ,Utamaduni na 
Michezo wakiwasindikizaVijana wanaopandisha Mwenge wa Uhuru kwenye 
Kilele cha Mlima Kilimanjaro tayari kwa safari leo Marangu kwenye 
Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro Mkoani Kilimanjaro.
Mkuu
 wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Leonidas Gama pamoja na Viongozi wa Mkaoa 
wa Kilimanjaro na wawakilishi wa Wizara ya Habari ,Vijana ,Utamaduni na 
Michezo wakiwasindikizaVijana wanaopandisha Mwenge wa Uhuru kwenye 
Kilele cha Mlima Kilimanjaro tayari kwa safari leo Marangu kwenye 
Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro Mkoani Kilimanjaro.
 
 

No comments:
Post a Comment