 KIUNGO  wa Ivory Coast Yaya Toure (28) ametawazwa kuwa mwanasoka bora wa Afrika  kwa mwaka 2011 kupitia tuzo zilizotolewa na Shirikisho la Soka Barani  Afrika (CAF) na kufanyika katika ukumbi wa Banquet uliopo ndani ya Ikulu  ya Ghana.
KIUNGO  wa Ivory Coast Yaya Toure (28) ametawazwa kuwa mwanasoka bora wa Afrika  kwa mwaka 2011 kupitia tuzo zilizotolewa na Shirikisho la Soka Barani  Afrika (CAF) na kufanyika katika ukumbi wa Banquet uliopo ndani ya Ikulu  ya Ghana.Toure anayekipiga katika klabu ya Manchester City ya Uingereza alitwaa tuzo hiyo baada ya kupata kura nyingi na kuwapiku nyota wenzake aliotinga nao fainali, Mghana Andre Ayew na Seydou Keita wa Mali .
 
 
No comments:
Post a Comment