Pages

BRAND NEW MUSIC

metty magese

metty magese

Listen & Download

http://mdundo.com/a/32626

Monday, December 19, 2011

YALIYOJILI KATIKA XXL AFTER SKUL BASH 2011


Bob Junior na Nuru wakiimba kwa pamoja wimbo wao wa Muhogo.
Msanii kutoka THT, Amini Mwinyimkuu akifanya makamuzi.

Baadhi ya wanenguaji wa THT wakikamua stejini.

Godzila alipoteza ajabu.

Mr XXL 2011, Sospeter Elias (kushoto), akiwa katika pozi na Miss XXL, Rahmada Baga muda mfupi baada ya kutangazwa washindi.

Warembo hao wakishindana kusakata rhumba mahali hapo.
Wasanii wanawakilisha kundi la Makomandoo wakiwajibika mari hapo.
DJ Choka (kulia), akiwa katika pozi na vijana wanaomiliki mtandao wa G5CLICK kwenye fukwe hizo.
Young Dee akikamua kwa staili yake.
Young Dee akicheza na jukwaa namna hii.
Msanii wa Top Band, Ommy Dimpoz akitumbuiza kwa hisia kali huku akiwa amemkamatia mbwa wake jukwaani hapo.
Mtangazaji machachari wa Kipindi cha XXL Cha Clouds FM, Hamis Mandi ‘B12’ akisherehesha tamasha hilo.
Msanii kutoka THT, Mataluma akionyesha uwezo wake.
Watangazaji wa Clouds FM, Adam Mchomvu (kushoto), Fatuma Hassan ‘DJ Fety, na Ruben Ndege ‘Ncha Kali’ wakishindana kuchana jukwaani hapo.
DJ Zirro wa Clouds FM, akisongesha burudani hizo.
Mmoja wa mashabiki waliohudhulia tamasha hilo akijinafasi mbele ya umati baada ya kupewa nafasi ya kuonyesha uwezo wake.
Baadhi ya mashabiki waliofurika mahali hapo.


NDOA YA WAZAZI WAKE BEYONCE VPIANDE VIPANDE
1218_tina_mathew_knowels_getty_ex
Mathew and Tina Knowles' on again-off again divorce dragged on for two years, but it's now legally kaput, done, over ... final.
The final decree of divorce was issued last month in a Texas court, and according to documents -- obtained Beyonce's mom refiled on August 30. Tina's first swing at the divorce was in November 2009 ... but the matter was dropped in 2010 when they were both no-shows for court.
In the docs, Tina says the marriage was "insupportable because of discord or conflict of personalities" ... which "prevents any reasonable expectation of reconciliation."
The papers make no specific mention of Mathew getting slapped with a paternity suit back in 2009 -- but the original divorce filing did come one month after that went down. 


ALBUM MPYA YA SEAN PAUL YATISHIA AMANI

sean-paul-mowark-hair-cut-style-dancehall.jpg Rapper Sean Paul is promising to surprise fans on upcoming album “Tomahawk Technique” with more singing that his last record and several collaborations with singers including Kelly Rowland.
“There’s a broadening of my artistry, I’m working with other producers and artists I’ve never worked with,” the Jamaican rapper told Reuters at the recent KIIS FM Jingle Bell Ball in Los Angeles.
“Tomahawk Technique” follows the success of the rapper’s 2009′s record “Imperial Blaze,” which earned Paul a Grammy nomination for Best Reggae Album.
For the new CD, he has teamed up with producers Rico Love, Benny Blanco and Stargate, who have been behind artists such as Katy Perry, Justin Bieber, Rihanna and Natasha Bedingfield, to work on his new album.
“What’s going to surprise fans is that there’s a lot more singing, more high notes that I never used to do before,” said Paul, adding “it’s a mixture of pop music into dance music.”

Kim-Jong il aliyefariki dunia, na mwanae anayemrithi Kim jong un
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-il amefariki dunia kwa mshtuko wa moyo katika umri wa miaka 69, vyombo vya habari vya serikali vimetangaza.
Mamilioni ya raia wa Korea Kaskazini ‘wamegubikwa na huzuni isiyoelezeka’, Shirika la habari la Korea Kaskazini KCNA limesema. Watu wameonekana wakilia katika mji mkuu Pyongyang.

No comments: