 Katibu
 Mkuu TFF, Angetile Osiah (kushoto) akitoa shukurani kwa MSD kuipatia 
timu hiyo msaada. Kulia ni Mkurugenzi wa Shughuli za Kanda za Mashariki 
wa Bohari ya Dawa (MSD), Lucy Nderimo
Katibu
 Mkuu TFF, Angetile Osiah (kushoto) akitoa shukurani kwa MSD kuipatia 
timu hiyo msaada. Kulia ni Mkurugenzi wa Shughuli za Kanda za Mashariki 
wa Bohari ya Dawa (MSD), Lucy Nderimo Mkurugenzi
 wa Shughuli za Kanda za Mashariki wa Bohari ya Dawa (MSD), Lucy Nderimo
 (kushoto) na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania 
(TFF), Angetile Osiah wakiwa na furaha wakati wa hafla ya MSD, kukabidhi
 msaada wa Sh. Mil. 10 kwa timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake ya Twiga 
Stars, Dar es Salaam jana. Katikati ni Meneja wa Huduma kwa Wateja na 
Uhusiano wa MSD, Salome Mallamia.
Mkurugenzi
 wa Shughuli za Kanda za Mashariki wa Bohari ya Dawa (MSD), Lucy Nderimo
 (kushoto) na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania 
(TFF), Angetile Osiah wakiwa na furaha wakati wa hafla ya MSD, kukabidhi
 msaada wa Sh. Mil. 10 kwa timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake ya Twiga 
Stars, Dar es Salaam jana. Katikati ni Meneja wa Huduma kwa Wateja na 
Uhusiano wa MSD, Salome Mallamia. Meneja
 wa Huduma kwa Wateja na Uhusiano wa MSD, Salome Mallamia (kushoto), 
akielezea umuhimu wa msaada huo kwa timu hiyo ya soka kwa wanawake. 
Kulia ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), 
Angetile Osiah
Meneja
 wa Huduma kwa Wateja na Uhusiano wa MSD, Salome Mallamia (kushoto), 
akielezea umuhimu wa msaada huo kwa timu hiyo ya soka kwa wanawake. 
Kulia ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), 
Angetile Osiah
 
 
No comments:
Post a Comment